TUME Logo
TUME Logo
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Tume ya Kuchunguza Matukio Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025

Balozi Radhia Naima Msuya

Radhia Naima Msuya photo
Balozi Radhia Naima Msuya
Mjumbe wa Tume

Barua pepe: katibu@tume.uchunguzi.go.tz

Simu: 0743 040 890

Wasifu

Radhia Naima Msuya ni Balozi na Mwanadiplomasia mwandamizi akiwa amehudumu kama Balozi wa Tanzania katika Nchi mbalimbali ikiwemo Afrika Kusini, Namibia, Lesotho, Botswana na katika Taasisi ya SADC. Kutokana na weledi wake katika Diplomasia, Balozi Radhia Msuya amewahi kutunuliwa nishani ya Heshima (National Order of Merit) na Rais wa Ufaransa.

Wasiliana Nasi