TUME Logo
TUME Logo
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Tume ya Kuchunguza Matukio Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025

Balozi Paul Meela

Paul Meela photo
Balozi Paul Meela
Mjumbe wa Tume

Barua pepe: katibu@tume.uchunguzi.go.tz

Simu: 0743 040 890

Wasifu

Paul Meela ni Balozi na Luteni Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania. Amewahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini DRC. Akiwa Generali Mwandamizi wa Jeshi, Jenerali Paul Meela ameshiriki katika shughuli nyingi za kuleta amani, ikiwemo kuwa Force Commander wa majeshi ya Umoja wa Mataifa Darful, amewahi kuhudumu kwenye timu ya usuluhishi chini ya Rais mstaafu wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta ambaye alikuwa Msuluhishi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki katika mgogoro wa mashariki ya DRC

Wasiliana Nasi