TUME Logo
TUME Logo
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Tume ya Kuchunguza Matukio Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025

Said Ally Mwema

Said Ally Mwema photo
Said Ally Mwema
Mjumbe wa Tume

Barua pepe: katibu@tume.uchunguzi.go.tz

Simu: 0743 040 890

Wasifu

Said Ally Mwema ni Mkuu wa jeshi la Polisi mstaafu, ambaye amewahi kusimamia maboresho  makubwa ya Jeshi la Polisi ikiwemo kuandaa mkakati na utekelezaji wa Polisi Jamii. Akiwa Mkuu wa Jeshi la Polisi pia aliongoza Jeshi kupambana na uhalifu mbalimbali ikiwemo uhalifu wa kuvuka mipaka, ugaidi, biashara haramu ya binadamu na madawa ya kulevya. Amewahi pia kuwa Mkuu wa Kanda ndogo (sub-region bureau) ya Interpol iliyopo Nairobi Kenya, na alikuwa mjumbe wa Tume ya Rais ya kuangalia jinsi ya Kuboresha Taasisi za Haki Jinai.

Wasiliana Nasi